trending

“Nyanya ya Embarambamba alikuwa mchawi”- Ringtone Badly Blasts Embarambamba, Claims He Is A Witchdoctor Not A Gospel Artist.

Controversial gospel artist, Ringtone Apoko has picked wars with Kisii Musician, Embarambamba after a video of him caused waves for the better part of yesterday, May 25.

Shunning his bad behaviors, Ringtone claimed that Embarambamba is not a gospel artist but a witchdoctor.

“Mimi nataka ku address maneno ya Embarambamba. Number 1, hajawai kuwa msanii wa gospel. Embarambamba hajawai okoka, hajawai mpokea Yesu kama mwokozi wa maisha yake… Ametoka Kisii akiwa dancer wa Sagero,” he said.

Embarambamba akatoroka na Akakuja akaanza kufanya uwazimu… Nyanya ya Embarambamba alikuwa mchawi. Embarambamba akabeba tabia za nyanya yake,” Apoko stated.

Adding;

Alikuwa anamfundisha venye uchawi inafanywa, kuning’inia kwa miti, kupanda juu ya ma roofs za nyumba. Embarambamba akafkiri ni talent.Embarambamba si gospel artist, ni mwanabiashara.”

Msiharibie wasanii wa gospel jina. Tunataka ku make sure kwamba gospel music inarudi juu… Embarambamba si mmoja wetu… Embarambamba ni comedian ambaye ni mchawi imechanganikana”

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *