gossips

“Bwanangu alipotelea kabisa kwenye swala la umang’aa licha ya kuwa nafamilia ya kumtegemea” Mwanamke asononeka Bungoma

Mwanamke kwa jina Jentrix kutoka Wilaya ya Naitiri, Bungoma alieleza jinsi alivyoghadhabika
kwenye ndoa kutokana na jinsi mumewe John alivyozamia kwenye swala nzima la kushiriki
ngono na makahaba. Jentrix mwenye umri wa miaka thelathini na mitano aliyekuwa amekaa
kwenye ndoa kwa takriban miaka kumi alisema kwamba mume wake alikuwa amekwishapata
uraibu huo na kuuasi ilikuwa ni vigumu sana kwake.
“Bwanangu alikuwa amejiingiza mzimamzima kwenye jinamizi lile asingejua athari zake.
Tulijaribu kukaa kama familia hata wakati mwingine kuongea na jamaa na marafiki zake ili
kupata suluhisho ili ajitenge na uraibu huo lakini hakukuwa na mabadiliko ya aina yeyote
yaliyofatia,” Jentrix alidokeza.

Jentrix aliendelea kufichua kwamba, mume wake alikuwa akitumia pesa zake kiholela kwa
kuwafurahisha makahaba ambao wengi wao walikuwa wanafunzi wa vyuo vikuu na vile vya
anuwai mjini Bungoma. Alisalia kwenye njia panda kuhakikisha kwamba familia yake imepata
hata chakula ama kujikidhi licha ya kuwa na mume aliyekuwa akifanya kazi kwenye jimbo hilo la
Bungoma.
“Fauka ya kuwa na mume, nilibaki kama mtu asiyekuwa na mume kabisa. Hali ngumu ya
kimaisha ilinipiga nisijue cha kufanya. Mume wangu alikuwa akipata mshahara mnene kila
mwezi na ajabu ni kwamba pesa zake nyingi ziliishia kwenye anasa na makahaba. Isitoshe
kuonekana kwake nyumbani ilikuwa ni muujiza tu,” Jentrix aliongea kwa masikitiko makubwa.

Hatimaye Jentrix alipata usaidizi baada ya jamaa yake kumweleza kwamba yupo daktari wa
kienyeji kwa jina Mugwenu mwenye uwezo wa kubadilisha mume wake. Alimtembelea Dr
Mugwenu akiwa ameandamana na mumewe hadi kwenye afisi zake Majengo, jimbo la Vihiga
na kupata tambiko maalum. Jentrix alisema mume wake alibadilika kabisa na kuiweka familia
yake mbele, hali anayosema ilitokana na tambiko spesheli ambalo Dr Mugwenu alimfanyia
mumewe.
MUGWENU DOCTORS EXERCISE DOCTOR-PATIENT CONFIDENTIALITY; NEITHER PATIENT’S FILE
RECORDS, IDENTITY NOR SECRETS IS SHARED TO A THIRD PARTY OR MADE PUBLIC UNLESS
OTHERWISE PATIENT’S/ON THEIR OWN VOLITION WISHES TO GIVE A TESTIMONY. MUGWENU
DOCTORS OFFICES ARE LOCATED IN MAJENGO TOWN VIHIGA COUNTY WESTERN KENYA.

He heals pressure, diabetes ulcers, gonorrhea, syphilis, TB, manhood weakness among other
things. The doctor also solves life challenges such as love issues, family problems, hardships in
business, increases your luck, which is winning lottery games and court cases, promotion at
work and clears away devilish spirits and dreams. For consultations call: +254740637248
https://mugwenudoctors.com Email: mugwenudoctors@gmail.com.